KISWSYLBSF4
i.
Uundaji wa Maneno
ยง Elezea njia
mbalimbali za uundaji maneno
ยง Elezea
mazingira yanayoelezea kuhitaji maneno mapya
ยง Unda maneno
katika miktadha mbalimbali
i.
Ukuaji na ueneaji wa Kiswahili katika enzi ya Waingereza
ยง Elezea mambo
waliyochangia waingereza katika ukuaji wa Kiswahili nchini Tanzania
ii.
Ukuaji na Ueneaji wa Kiswahili baada ya Uhuru
ยง Elezea shughuli
mbalimbali zinazowezesha kukua na kuenea kwa Kiswahili nchini
ยง Elezea dhima ya
kila asasi inayokuza Kiswahili
i.
Uhakiki wa Ushairi, Tamthiliya na Riwaya
ยง Fafanua
vipengele vya uhakiki
ยง Baini taarifa
muhimu za mwandishi wa kila kitabu
i.
Utungaji wa Mashairi
ยง Fafanua mambo
ya kuzingatia katika utungaji wa mashairi
i.
Uandishi wa Insha za Kiada
ยง Elezea muundo
wa insha za kaida
ii.
Uandishi wa Hotuba
ยง Elezea muundo
wa hotuba
iii.
Uandishi wa Risala
ยง Elezea muundo
wa risala
iv.
Uandishi wa kumbukumbu za Mikutano
ยง Elezea mambo ya
kuzingatia katika uchukuaji wa kumbukumbu za mikutano
i.
Ufahamu wa Kusikiliza
ยง Jibu maswali ya
habari uliyosikiliza
ยง Fupisha habari
ii.
Ufahamu wa Kusoma
ยง Jibu maswali
kutokana na habari ndefu uliyosoma
ยง Fupisha habari
ndefu uliyosoma