Breaking News

KISWSYLBSF4


            i.            Uundaji wa Maneno
ยง  Elezea njia mbalimbali za uundaji maneno
ยง  Elezea mazingira yanayoelezea kuhitaji maneno mapya
ยง  Unda maneno katika miktadha mbalimbali
            i.            Ukuaji na ueneaji wa Kiswahili katika enzi ya Waingereza
ยง  Elezea mambo waliyochangia waingereza katika ukuaji wa Kiswahili nchini Tanzania
          ii.            Ukuaji na Ueneaji wa Kiswahili baada ya Uhuru
ยง  Elezea shughuli mbalimbali zinazowezesha kukua na kuenea kwa Kiswahili nchini
ยง  Elezea dhima ya kila asasi inayokuza Kiswahili
            i.            Uhakiki wa Ushairi, Tamthiliya na Riwaya
ยง  Fafanua vipengele vya uhakiki
ยง  Baini taarifa muhimu za mwandishi wa kila kitabu
            i.            Utungaji wa Mashairi
ยง  Fafanua mambo ya kuzingatia katika utungaji wa mashairi
5.    Uandishi
            i.            Uandishi wa Insha za Kiada
ยง  Elezea muundo wa insha za kaida
          ii.            Uandishi wa Hotuba
ยง  Elezea muundo wa hotuba
       iii.            Uandishi wa Risala
ยง  Elezea muundo wa risala
        iv.            Uandishi wa kumbukumbu za Mikutano
ยง  Elezea mambo ya kuzingatia katika uchukuaji wa kumbukumbu za mikutano
6.    Ufahamu
            i.            Ufahamu wa Kusikiliza
ยง  Jibu maswali ya habari uliyosikiliza
ยง  Fupisha habari
          ii.            Ufahamu wa Kusoma
ยง  Jibu maswali kutokana na habari ndefu uliyosoma
ยง  Fupisha habari ndefu uliyosoma